clock

,,,,,

Wednesday, May 29, 2013

KUKANUSHA KIFO CHA M 2 THE P


Kulingana na habari zilizopatikana katika mchana wa cku ya jana ni kuwa msanii ambaye alikuwa na LATE MANGWAIR ajulikanaye kwa jina la M 2 THE P ni kuwa amefariki dunia.Lakini jana mchana huohuo kulingana na taarifa zilizockika kutoka kwenye kituo kimoja cha redio cha nchini Tanzania ambacho kiliwasiliana moja kwa moja na daktari wa hospitali ya Hellen Joseph ya huko South Afrika kupitia kwa mtangazaji wao aliyekwenda South Afrika kulifatilia tukio hilo kwa umakini.Hivyo M 2 THE P hakufariki na hali yake yaelekea kuleta matumaini. WAKATI HUO HUO: Mwili wa marehemu Albert Mangwea umehamishiwa kwenye hospitali ya serikali kwa uchunguzi zaidi kabla haujakabidhiwa kwa ndugu wa marehemu.Na pia daktari wa Hellen Joseph alisema ya kuwa ripoti ya kifo cha Mangwea bado haijatolewa na hivyo kutia shaka juu ya ripoti iliyoonekana kuzagaa kwa cku ya jana kwenye mitandao. AS a blogger napenda kuwapa pole ndugu wa Albert Mangwea na kuwaombea kwa mungu awape uvumilivu kwa kipindi hiki kigumu walichokuwa nacho.(for any comment,questions ,consultation...TYPE DOWN ON THE COMMENT BOX).

Tuesday, May 28, 2013

RIPOTI YA KIFO CHA MWANA(ALBERT MANGWEA) NA TETESI ZA KIFO CHA M TO THE P


(Ngwea na M to the P siku moja kabla ya kifo) The Medical report from Helen Joseph hospital,Dr Shirley Radcliffe confirming that albert Mangwair died from “alcohol toxicity” after drinking too much,Over-exhaustion and drugs overdose....The inquest heard that Albert 28, collapsed in the his friends home had been more than five-times the legal S.A drink drive limit with 416mg ... of alcohol per 100 millilitres of blood in his system....Radcliffe described the reasons for ICU admission included hypoxemia and one of his friend found “two empty vodka bottles [found] on the Car” and he had been suffering from the eating disorder Bulimia for several months before his death and endless partying session with little or no resting...sample taken from his stomach showed poly-drug cocktail and he overdosed Heroin,Cocaine 'crack' and cannabis 0.08gms was also found in his blood...and his death was caused by massive heart attack and respiratory failure followed by sudden Heart stop...and end up dead within seconds! Muda huo huo: Taarifa ninazosemekana kutoka nchini Afrika Kusini ni kwamba yule msanii aliyepelekwa hospitali pamoja na Mwana Hip Hop, Albert Mangwair aitwaye M to the P naye amefariki dunia leo. M2 the P alipelekwa katika hospitali ya St Hellen iliyopo jijini nchini humo kwa matibabu baada ya kukutwa amepoteza fahamu akiwa na Mangwair aliyefariki dunia jana. Miili ya marehemu hao bado ipo katika hospitali ya St. Hellen na mipango ya kuhamisha miili hiyo bado inaendelea hivi sasa.

JINAMIZI LA VIFO VYA MASUPASTAA


R.I.P mwana Albert Mangwea....Tutakukumbuka....