clock

,,,,,

Wednesday, May 29, 2013

KUKANUSHA KIFO CHA M 2 THE P


Kulingana na habari zilizopatikana katika mchana wa cku ya jana ni kuwa msanii ambaye alikuwa na LATE MANGWAIR ajulikanaye kwa jina la M 2 THE P ni kuwa amefariki dunia.Lakini jana mchana huohuo kulingana na taarifa zilizockika kutoka kwenye kituo kimoja cha redio cha nchini Tanzania ambacho kiliwasiliana moja kwa moja na daktari wa hospitali ya Hellen Joseph ya huko South Afrika kupitia kwa mtangazaji wao aliyekwenda South Afrika kulifatilia tukio hilo kwa umakini.Hivyo M 2 THE P hakufariki na hali yake yaelekea kuleta matumaini. WAKATI HUO HUO: Mwili wa marehemu Albert Mangwea umehamishiwa kwenye hospitali ya serikali kwa uchunguzi zaidi kabla haujakabidhiwa kwa ndugu wa marehemu.Na pia daktari wa Hellen Joseph alisema ya kuwa ripoti ya kifo cha Mangwea bado haijatolewa na hivyo kutia shaka juu ya ripoti iliyoonekana kuzagaa kwa cku ya jana kwenye mitandao. AS a blogger napenda kuwapa pole ndugu wa Albert Mangwea na kuwaombea kwa mungu awape uvumilivu kwa kipindi hiki kigumu walichokuwa nacho.(for any comment,questions ,consultation...TYPE DOWN ON THE COMMENT BOX).

1 comment: