clock

,,,,,

Wednesday, September 12, 2012

Uingereza Yabanwa mbavu na Ukraine

Hatimaye goli la dakika za lala salama la Frank Lampard liliiwezesha timu ya taifa ya uingereza kupata suluhu ya 1:1 baada ya goli la mapema la Yevhen Konoplyanka katika dakika dakika ya 39...Bao hilo la lampard lilipatikana katika dakika ya 87 kwa njia ya penati baada ya mshambuliaji Danny welbeck kumshikisha mchezaji wa timu ya ukraine...

No comments:

Post a Comment