clock
,,,,,
Wednesday, September 12, 2012
Shambulio kwa rais mpya wa SOMALIA
Kuna shambulio la mauaji katika mageti ya hotel somalia ya Mogadishu.Shambulio hilo la bomu lilikuwa limekusudiwa kwa raisi mpya wa nchi hiyo ya Somalia bwana Hassan Sheikh Mohamud ambapo ndipo alipo.
Shambulio hilo ambalo inasemekana limeua watu saba wakiwemo watu wawili waliohusika na shambulio hilo.Pia miongoni mwa watu waliouwawa wamo wanajeshi wawili wa umoja wa mataifa.Kundi la AL-SHABAB Limekiri kuhusika na tukio hilo huku wakidai kuwa Rais aliyechaguliwa,amechaguliwa na wabaya wa nchi hiyo.Hata hivyo Rais huyo mpya hakudhurika na shambulio hilo.Shambulio hilo ni shambulio la kwanza kwa kundi hilo tangu kuingia madarakani kwa Raisi huyo mpya.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment